• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Baraza la Biashara Chamwino Lahimiza Uwekezeji wa Viwanda

Imewekwa: December 23rd, 2019

Tarehe 23 Desemba  2019, Baraza la Biashara limefanya kikao kwenye ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, ikiwa na lengo la kukutanisha sekta ya umma na sekta binafsi ili kuboresha mazingira ya biashara.


Wajumbe wa baraza hilo wametoa wito kwa wafanyabiashara wa nje na ndani ya Chamwino kuchangamkia fursa za kiuchumi zilizopo Wilayani hapa na Dodoma kuwa makao makuu ya nchi kufanya uwekezaji wa viwanda vidogo, vya kati na vikubwa.


Akizungumza katika kikao hicho Mwenyekiti Mwenza wa Baraza Bwana Richard Mmasi amesema kuwa zipo fursa za nyingi uwekezaji ikiwa ni pamoja na kilimo cha zabibu na mazao mengine, mifugo na madini.


Kwa upande wake Katibu Tawala  wa Wilaya Bi. Juliana Kilasara ameeleza kuwa ni wakati sahihi kwa baraza kujipanga kutoa elimu kwa wanyabiashara ngazi ya Vijiji na Kata ili kuwapa fursa ya kuwasilisha changamoto zinazowakabili ili serikali iendelee kuweka mazingira wezeshi kwa wafanyabiasha.


Nae Meneja wa TRA  Wilaya ya Chamwino Ndugu  Omari Rajabu ametoa wito kwa wafanyabiasha na wananchi wanaostahili kulipa kodi ya majengo ambayo ni shilingi 10,000 kila mwaka.


Dhumuni kuu la kuanzishwa kwa baraza la biashara ni kuwakutanisha viongozi wakuu wa Wilaya kutoka Sekta Binafsi na Serikali chini ya usimamizi wa Mkuu wa Wilaya, kujadiliana jinsi ya kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini kwaajili ya kukuza uchumi kutumia sekta binafsi. Hususan katika ngazi ya Mikoa na Wilaya, 

Malengo mengine  ni  Kutengeneza mazingira bora ya kufanya biashara na uwekezaji, Kuibua Fursa za uwekezaji na Kuzinadi fursa hizo – kupitia Kongamano za Uwekezaji nakadhalika.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Wakuu Wa Shule Wapatiwa Mafunzo Ya Mfumo Wa NeST

    March 21, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.