• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Wizara ya Maliasili na Utalii na Chamwino Wapitisha Mpango wa Kanda wa Usimamizi wa Rasilimali

Imewekwa: July 3rd, 2023

Wizara ya Maliasili na utalii kwa Kushirikiana na Halmashauri.ya Wilaya ya Chamwino wamefanya kikao cha kupitisha Mpango wa Kanda wa Usimamizi wa Rasilimali (RZMP) Julai3, 2023. Kikao kimefanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo.

Baada ya kupata maoni ya wadau na kupitisha Mpango wa Kanda wa Usimamizi wa Rasilimali utawezesha eneo hilo kutangazwa kuwa Jumuiya ya Hifadhi na kupewa Haki ya Matumizi ya Rasilimali na kutangazwa kwenye Gazeti la Serikali.

Wizara ya Maliasili na utalii kwa kushirikiana na Halmashauri ya wilaya ya Chamwino inaendelea na utekelezaji wa mradi wa kupambana na ujangili na uthibiti biashara haramu ya nyara katika maeneo ya mfumo wa ikolojia wa Ruaha - Rungwa. 

Vijiji vya Ndogowe na Mlazo wamefanikiwa kuanzisha Hifadhi ya wanyamapori Jamii - Wildlife Management Area- WMA inayopakana na maeneo ya Hifadhi hasa hifadhi ya wanyamapori MBOMIPA - IRINGA. Vijiji hivi ni katiya vijiji 10 vya Tarafa ya Mpwayungu vinavyokabiliana na changamoto wanyamapori wakali na waharibifu.

Akizungumza alipokuwa akifungua kikao hicho Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chamwino Dkt. Semistatus H. Mashimba amipongeza Wizara ya Maliasili na utalii kwa kufanikiwa kuanzisha WMA pamoja na wananchi waliokubali kuanzisha. Alimuahidi Mkurugenzi kutoka wizara ya Maliasili Dkt. Msofe kuwa watahakikisha na vijiji 8 ambavyo bado havijajiunga vinajiunga na mradi huo.

"Tutahakikisha vijiji 8 ambavyo havijajiunga na mpango huo vinajiunga. Tutashirikiana kutoa elimu na nadhani kwa muda mfupi sana hao waliojiunga watakuwa mfano wa kusababisha wenzetu kutafakari upya na kujiunga na mradi huu." Alisema Dkt. Mashimba.

Aidha alieleza kuwa mradi umelenga kuwawezesha wananchi kupata manufaa kupitia wanyamapori kwenye vijiji vyao ambavyo vimekuwa vikikabiliwa na wanyamapori wakali na waharibifu hususani kwenye mazao na kusababisha hasara kubwa kwa wananchi.

Alieleza pia ili kuwezesha wananchi kufaidika na rasilimali za wanyamapori sheria imeelekeza kuanziasha WMA ili wananchi waweze kupata haki za matumizi ya rasilimali zote zinazowazunguka.

"Natumia fursa hii kuipongeza Wizara ya Maliasili na utalii kwa uwezeshaji wa mradi huu katika wilaya yetu ya Chamwino, aidha nawapongeza na viongozi wote wa Kata, Tarafa, vijiji na Wilaya kwa kuhakikisha mradi huu unakwenda kutelezwa vizuri." Alisema Dkt. Mashimba.

" Uwepo wa maeneo haya yanasaidia shughuli zote za kimila na kitamaduni kupata fursa kubwa kwa wawekezaji, hivyo ninawasihi sana viongozi wote na wananchiwa Wilaya tuendwlee kushirikiana ili kuwezeaha kufanikisha mirasi ya wizara hii, hususqni huu utekelezeke vizuri na tuhakikishe tunapata mafanikio makubwa kwenye Halmashauri yetu." Alisema Dkt. Mashimba.

Aliwaomba wananchi wanaporudi kwenye maeneo yao wasigeuke kuwa vikwazo vya kukwamisha mradi huu.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Wakuu Wa Shule Wapatiwa Mafunzo Ya Mfumo Wa NeST

    March 21, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.