Swahili
  • English
  • Swahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAZIRI UMMY: Tutamuenzi Hayati Dkt Magufuli kwa kumalizia Ujenzi wa Hospitali ya Uhuru

Imewekwa: April 14th, 2021

Na Brian Machange-Chamwino

Waziri wa Nchi OR-Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Ummy Mwalimu amesema serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan itamuenzi aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dr. John Pombe Joseph Magufuli kwa kumalizia ukamilishaji wa Ujenzi wa Hospitali ya Uhuru iliyopo Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma.


Waziri Ummy ameyasema hayo leo Aprili 14, 2021 mara baada ya kukagua maendeleo katika Hospitali ya Uhuru, Wilayani Chamwino, Mkoani Dodoma.

Waziri Ummy amewatoa hofu wananchi wa Chamwino na Watanzania kwa ujumla kuwa watahakikisha wanamuenzi hayati Dkt John Pombe Magufuli kwa Kuendeleza miradi aliyoianzisha hususani Hospitali hii ya Uhuru kwakuanzisha mchakato wa Ujenzi wa majengo ya awamu ya pili yatakayojumuisha wodi za kulaza wagonjwa unaotarajiwa kugharimu kiasi cha shilingi bilioni 1.7


Kuhusu watumishi wa afya katika Hospitali hiyo, Waziri Ummy amewataka kufanyakazi kwa kujituma,kujitolea na kufuata maadili ya kazi yao wanapotoa huduma kwa wananchi na kutoa kauli nzuri kwa wagonjwa wanapowahudumia.


Aidha amewatoa hofu watumishi wanaofanyakazi za kujitolea katika Hospitali hiyo, serikali itawapa kipaumbele katika ajira zitakazotolewa huku akitoa maagizo kwa Mkurugenzi Mtendaji na Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Chamwino kuandaa kanzidata ya watumishi wote wanaojitolea kwenye Hospitali hiyo.


Katika hatua nyingine, Waziri Ummy ametoa wito kwa wananchi wa Chamwino na mikoa jirani kuhakikisha wanajiunga na mfuko wa bima ya Afya ya Jamii iliwaweze kufaidi huduma zinatolewazo na Hospitali ya Uhuru.

Viongozi wa Mkoa wa Dodoma wakimkaribisha Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe. Ummy Mwalimu (MB) alipotembelea Hospitali ya Uhuru Wilayani Chamwino Aprili 14, 2021

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Ashiriki Zoezi La Kuboresha Taarifa Kwenye Daftari La Kudumu La Wapiga Kura

    May 17, 2025
  • Mafunzo Ya Uboreshaji Wa Daftari La Wapiga Kura Awamu Ya Pili Yatolewa Chamwino

    May 14, 2025
  • Chamwino Waibuka Kidedea Tuzo Za MSD Kanda Ya Kati

    May 11, 2025
  • Kata, Shule Na Walimu Walioibuka Kidedea Kwa Ufaulu 2024 Wajizolea Vitita Chamwino

    May 10, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.