• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

Imewekwa: March 27th, 2025

Tume ya Watumishi wa Walimu (TSC) Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino leo tarehe 27 Machi, 2025 wametoa tuzo kwa Walimu wa shule za Sekondari na Msingi waliofanya vizuri kwa kuleta ufaulu katika mitihani ya kitaifa ya darasa la saba, kidato cha pili, kidato cha nne na sita ya mwaka 2024, tuzo hizo zilitolewa katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri.

Utolewaji wa tuzo hizo ni sehemu ya kuongeza hamasa inayotolewa na TSC Wilaya ya Chamwino kwa Walimu kwa kutambua mchango na jitihada zao katika kuongeza ufaulu wa Wanafunzi.

Akizungumza katika hafla hiyo ya utolewaji wa tuzo mgeni rasmi Ndg. Romuli John ambaye alimuwakilisha Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu Taifa amempongeza Katibu wa TSC Wilaya Chamwino Bi. Paulina Kanumba pamoja na timu anayofanyanayo kazi kwa ubunifu wa kuandaa tuzo na ushirikiano walionao.

“Pamoja na pongezi hizi kwa Katibu nipongeze timu anayofanyanayo kazi pale TSC nina uhakika ushirikiano wenu, maelewano yenu na mshikamano ndo umewafikisha hapa vinginevyo basi ofisi ingekuwa haiendi, nimesikia tangia tunakuja ofisi ya TSC ukiwa unakuja sasa mtu anaweza kupiga hata stori”. Alipongeza Ndg. Romuli.

Aidha, Ndg. Romuli amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mchango wake mkubwa kuinua sekta ya elimu nchini kwa kuelekeza fedha nyingi kwenye sekta hiyo.

Sambamba na pongezi hizo amewapongeza pia walimu pamoja na kuwaomba kuhakikisha wanasimamia suala la maadili bora kwa Wanafunzi na katika utendaji wa majukumu yao.

“Tunatakiwa tupambane kuhakikisha maadili yanakolea tusiliache hilo nyuma kwahiyo niombe walimu tuliopo hapa kama wawakilishi wa wengine twendeni tukaeneze hii kwamba upande wa maadili tuweke mfumo imara sana”. Alisema Ndg. Romuli.

Kwa upande wa Katibu wa TSC Wilaya ya Chamwino Bi. Paulina Kanumba amewashukuru Walimu wakuu kwa ushirikiano wao na ofisi ya TSC kwa kueleza changamoto zao pamoja na kujenga mazingira bora ya kufanya kazi kwa amani.

Akihitimisha kwa kutoa neno la shukrani  katika hafla hiyo kwa niaba ya Mkurugeni Mtendaji, Mganga Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Dkt. Eusebi Kessy amehaidi ofisi ya Mkurugenzi kuendelea kutoa ushirikiano kwa ofisi ya TSC ili kuweza kufanikisha utekelezaji wa majukumu yao.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.