• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Makamu wa Rais Akabidhi Pikipiki na Aonya Unyasaji wa Wanawake na Watoto

Imewekwa: July 30th, 2019

Leo Julai  30, 2019 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amekabidhi pikipiki 13 kwa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino na kuagiza zitumike kwenye shughuli zilizokusudiwa.

Pikipiki hizo zimetolewa na Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na shirika la UN-Woman na zimekabidhiwa kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Kata 12 za Wilaya ya Chamwino ili ziwarahisishie kutekeleza majukumu yao pamoja na ufuatiliaji wa vitendo vya unyasaji wa wanawake na watoto. Pikipiki moja imekabidhiwa kwa Afisa Maendeleo ya Jamii ngazi ya Wilaya.

Makabidhiano hayo yamefanyika katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma wakati wa Uzinduzi wa Dawati la Kupambana na Unyanyasaji wa Wanawake na Watoto kwenye maeneo ya kufanyia biashara.

Makamu wa Rais ameeleza kuwa vitendo vya unyanyasaji wa Wanawake vimekuwa vikileta athari kubwa kiuchumi na kisaikolojia kwa jamii na amekemea tabia iliyozoeleka na baadhi watu kutoa lugha chafu na kuwatukana wanawake hadharani.

"Unakuta sokoni mtu mzima anaporomosha matusi ya nguoni kwa wanawake wajasiriamali na wengine hudiriki mpaka kuwashika maungo yao na pengine mbele ya watoto wao. Huu ni unyanyasaji ambao sitakubaliana nao, ndio maana tumezindua Dawati hili". Alisema Makamu wa Rais.

 Kwa upande wake Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri nchini kuhakisha wanatoa mikopo mikubwa yenye tija kwa wanawake na ameonya Madiwani kutotumia mikopo hiyo kisiasa.

Aidha Makamu wa Rais Mh. Samia ametembelea Soko la Majengo lililopo jijini Dodoma na kufanya uzinduzi wa Dawati la Kupinga Unyanyasaji wa Wanawake na Watoto ambalo limezinduliwa rasmi katika Wilaya za Dodoma na Shinyanga.

Makamo wa Rais akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi wa Wilaya ya Chamwino baada ya kukabidhi pikipiki 

Baadhi ya Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino waliokabidhiwa pikipiki 

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.