• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mafunzo ya Mfumo wa Uhasibu Ngazi ya Vituo vya Kutolea Huduma kwa Zahanati na Vituo Afya

Imewekwa: October 24th, 2017

Kufuatia maelekezo ya Mh. Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa Serikali ya Muungano wa Tanzania katika uzinduzi wa mfumo wa uhasibu ngazi ya vituo (Facility Financial and Accounting System) na Planrep ya web-base kuwa Halmashauri zote nchini zitowe mafunzo kwa watumishi ngazi ya vituo na kuanza kutumia mfumo wa FFARS.

Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kwa kupitia ufadhili wa Shirika la Health Promotion and System Strenghthening (HPSS) ilifanya mafunzo kwa watumishi wa Afya ngazi ya vituo 63 kwa kila kituo kuwakilishwa na mtumishi mmoja kuanzia tarehe 24 – 27 Oktoba, 2017 kwa kuwa na makundi mawili yaliyokuja kwa awamu mbili. Awamu ya kwanza ilihudhuriwa na watumishi 29 tarehe 24-25 Oktoba na awamu ya pili 32 kuanzia 25- 27 Oktoba ambao walipatiwa mafunzo hayo ya FFARS kwa siku mbili kila kundi.

Mafunzo yaliendeshwa na wawezeshaji 5 kutoka ngazi ya Halmashauri na mwakilishi mmoja wa Shirika la HPSS. Watumishi walikuja na vifaa vyao pamoja na vitabu vyao vya kuingizia taarifa za fedha na kila mshiriki aliweza kuingia kwenye mfumo na kuanza kufanya mazoezi ya kuingiza taarifa kwa kuwa Halmashauri iliwezesha uwepo wa mtandao (wireless internet) katika ukumbi kuwezesha zoezi . Watumishi wote walikuwa kwenye mafunzo walifurahia mfumo pamoja na kuusifu namna unavyoweza kuwasaidia katika utekelezaji wa mipango ya vituo vyote.

Baada ya kufanya mazoezi, washiriki waliingia kwenye mfumo wa ‘live’ kwa password za na kasha kuanza kufanya kazi ya kuingiza Mpango wa kituo wa mwaka 2017/18 na kasha taarifa za kifedha za kuanzia 1 Julai, 2017.

Wakati wa Mafunzo, washiriki walipata kutembelewa na Meneja mradi wa Mkoa wa shirika la HPSS Bw. Kenneth Gondwe pamoja na mtaalam wa IT Bw Ishengoma kwa kuwapa maelekezo ya jinsi ya kutuma madai ya CHF.

Mweka hazina wa Halmashauri ya Wilaya kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji alishukuru shirika la HPSS kwa ufadhili katika mafunzo ya FFARS na ushirikiano wao katika maendeleo ya Halmashauri ya Chamwino.

Mafunzo yalifungwa tarehe 27 Oktoba kwa watumishi kuhimizwa kwenda kukamilisha uingizaji wa taarifa za fedha kila siku kwatika mfumo na kuutumia ipasavyo na kuwaelekeza wenzao waliopo katika vituo.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.