• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

LGTI Yakinoa Kikosi Kazi Cha Halmashauri Kupambana Na Mabadiliko Ya Tabia Ya Nchi

Imewekwa: July 22nd, 2025

Chuo cha Serikali za Mitaa (LGTI), kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Mitaji (UNCDF), Chini ya Ufadhili wa serikali ya Norway kinatekeleza mpango wa Local Climate Adaptive Living Facility (LoCAL) wenye lengo la kujenga jamii zenye uhimilivu zaidi dhidi ya mabadiliko ya tabianchi.

Kupitia mpango huu, LGTI imezindua mafunzo ya kujenga uwezo kwa kikosi kazi cha Halmashauri (Council Task Force (CTFs)) na Wawezeshaji wa Kata (Ward Facilitator (WFs)) kuhusu kujenga ustahimilivu wa Mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia mbinu ya O&OD iliyoboreshwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. 

Mafunzo hayo yalifunguliwa rasmi na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino Ndg. Tito P. Mganwa tarehe 21 Julai 2025, ikiwa ni hatua muhimu ya kujumuisha masuala ya tabianchi katika kuibua, kupanga, kutekeleza miradi ya maendeleo ya jamii inayolengwa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ili kuwa na usalama wa chakula.

Halmashauri ya wilaya ya Chamwino kwa sasa inatekeleza awamu ya pili ya LoCAL kupitia Mradi wa KILIMO HIMILIVU mpango wa mwaka mmoja (Julai 2025 – Juni 2026). Mradi huu unalenga kata za Msamalo na Mvumi Makulu, ukihimiza kilimo kinachostahimili mabadiliko ya tabianchi, matumizi endelevu ya ardhi na usimamizi bora wa maji, ili kusaidia jamii za wakulima na wafugaji kuhimili athari za mabadiliko ya tabianchi.



Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • LGTI Yakinoa Kikosi Kazi Cha Halmashauri Kupambana Na Mabadiliko Ya Tabia Ya Nchi

    July 22, 2025
  • Chamwino Yafanya Tathimini Ya Utendaji Kazi Na Kuweka Mikakati Mipya Kwa Mwaka 2025/2026

    July 15, 2025
  • Wakulima Wahimizwa Kuunda Vyama Vya Ushirika Ili Kunufaika Na Mfumo Wa Stakabadhi Ghalani

    July 09, 2025
  • Watumishi Chamwino Wapigwa Msasa Mfumo Wa e- Utendaji

    July 08, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.