• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Kongole Kwa Halmashauri Ya Chamwino Kuanzisha Mfuko Wa Elimu

Imewekwa: February 18th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino imepongezwa kwa kuanzisha mfuko wa elimu. Pongezi hizo zimetolewa jana tarehe 18 Februari, 2025 na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mh. Janeth Mayanja wakati wa kikao cha wadau wa elimu Wilayani Chamwino kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri.

Ikumbukwe Baraza la Madiwani la robo ya pili ya mwaka 2024-2025 lililofanyika tarehe 30 Januari, 2025 liliridhia kwa pamoja kuanzisha mfuko wa elimu kwa nia ya kutatua changamoto na kuongeza ubora wa elimu Halmashauri ya Chamwino.

“Nawapongeza Halmashauri kwa kuchakata mchakato wa kuanzisha mfuko wa elimu wa Halmashauri, wale wote mliohusika kwa namna moja ama nyingine mjipigie makofi”. Alipongeza Mh. Mayanja.

Akiendelea kutoa pongezi hizo Mh. Mayanja ambaye alikuwa Mwenyekiti wa kikao hicho aliwapongeza Mwenyekiti wa Halmashauri, Mkurugenzi Mtendaji na Madiwani kwa kuacha alama kwa kuanzisha mfuko huo.

“Na hizo ndizo alama kwamba wewe Mkurugenzi na Mwenyekiti wakati wa uongozi wenu mliweka alama ya kauanzisha mfuko wa elimu na nyinyi Madiwani wakati wa uwepo wenu mlitengeneza mfuko wa elimu, kwasababu mfuko wa elimu utaenda kuwasomesha hata watoto wanaotoka katika mazingira magumu.” Alisema Mh. Mayanja.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndg. Tito P. Mganwa amesema kutakuwa na mkutano wa uzindizi wa mfuko huo wa elimu na kuanzisha harambee ya kuchangia mfuko huo.

Aidha, kikao hicho cha wadau wa elimu kiliadhimia maadhimio mbalimbali kwa lengo la kuboresha ustawi wa elimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.