• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Kamati ya Kudhibiti UKIMWi Chamwino yatoa Kadi za CHF Kwa Watoto

Imewekwa: September 4th, 2022


Wajumbe wa kamati ya kudhibiti UKIMWI wilaya ya Chamwino wakiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Keneth Yindi ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri wametembelea vituo vya tiba na mafunzo kwa wanaoishi na virus vya UKIMWI. 

Shughuli hiyo imefanyika jumamosi Septemba 3, 2022 kwenye  Kituo cha Afya Chamwino, Hospitali ya Mvumi Mission na Kituo cha Afya cha Mlowa Barabarani.

Wajumbe wameweza kuchangia na kutoa kadi za bima ya Afya ya Jamii iliyoboreshwa ( CHF) kwa watoto wanaoishi na Vvu wapatao 230 kwa maeneo yote waliyoyatembelea.

Kituo cha Afya chamwino zimetolewa kadi kwa watoto 54, hospitali ya Mvumi Mission zimetolewa kadi kwa watoto 91 na kituo cha Afya cha Mlowa barabarani zimetolewa kadi kwa watoto 85.

Aidha watoto wamepewa mahusia mbalimbali ikiwemo suala la kusoma kwa bidii maana elimu ndio kitu cha pekee ambacho kinaweza kuweka usawa kwa wote katika jamii kati ya maskini na matajiri.

Akiongea na watoto hao Mchungaji Emmanuel Madeje ambaye pia ni mjumbe wa kamati alisema kilichowasukuma wao kama kamati kufanya jambo hilo ni upendo walionao kwa watoto hao. Akinukuu mistari ya Biblia alisema, " Mshike sana elimu, usimuache aende zake maana huyo ndiyo uzima wako."

" Silaha pekee itakayowasaidia katika maisha yao ni elimu. Elimu ndiyo itakayowapa heshima, hivyo ninyi mliopata fursa ya kuwa shuleni someni kwa bidii.^ Alisema Mchungaji.

Naye Mwenyekiti aliahidi kutoa zawadi ya vifaa vya shule kwa watoto watakaoshika nafasi ya kwanza hadi ya kumi kwa wanafunzi hao. Pia alisisitiza watoto kuweka bidii kwenye elimu, kjjituma na kujiamini na hapo ndipo watakapopata heshima kwenye jamii

Aliwataka pia kuzingatia masharti yote wanayoelekezwa na madaktari wao likiwemo suala la kufuatilia masuala ya unywaji wa dawa.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.