• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Chamwino Yafanya Tathimini Ya Utendaji Kazi Na Kuweka Mikakati Mipya Kwa Mwaka 2025/2026

Imewekwa: July 15th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino Ndg: Tito P. Mganwa leo Julai 15, 2025 ameendesha kikao kazi cha Watumishi wa makao makuu ya Halmashauri ya Chamwino ambacho kililenga kufanya tathimini ya utendaji kazi kwa mwaka uliopita, kuweka mikakati ya mwaka huu wa fedha wa 2025/2025 pamoja na kusikiliza changamoto mbalimbali za kiutendaji kutoka kwa  watumishi. Kikao kazi hicho kimefanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Chamwino.

Akifungua kikao hicho Mkurugenzi aliwapongeza watumishi kwa maeneo ambayo waliweza kufanya vizuri  kwa mwaka wa fedha uliopita ambapo alisema kuna maeneo wameweza kuvuka hadi asilimia mia moja na miongoni mwa hayo ni suala la ukusanyaji wa mapato .

Naye Kaimu Afisa Mipango wa Wilaya Ndg: Gaspar Baltazar aliwasilisha hali ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa mwaka uliopita pamoja na bajeti  iliyopitishwa kwa mwaka huu wa fedha kwa mapato ya ndani na kueleza kuwa watajikita kuhakikisha màpato hayo yanakusanywa kwa asilimia mia moja na kwamba mapato hayo yatakayopatikana kwa asil8mia kubwa yatakwenda kwenye miradi ya maendeleo hususani itakayowezesha Halmashauri kuongeza mapato.

Nao watumishi walijadili na kutoa maoni, ushauri na changamoto mbalimbali za kiutendaji kwa lengo la kuleta ufanisi katika kazi na kwa maendeleo ya Halmashauri nzima ya Chamwino ambapo Menejimenti ya Halmashauri ilizipatia majibu pamoja kuahidi kufanyia kazi ushauri na maoni yote mazuri yaliyotolewa na watumishi. 

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Chamwino Yafanya Tathimini Ya Utendaji Kazi Na Kuweka Mikakati Mipya Kwa Mwaka 2025/2026

    July 15, 2025
  • Wakulima Wahimizwa Kuunda Vyama Vya Ushirika Ili Kunufaika Na Mfumo Wa Stakabadhi Ghalani

    July 09, 2025
  • Watumishi Chamwino Wapigwa Msasa Mfumo Wa e- Utendaji

    July 08, 2025
  • Manejimenti Chamwino Yapokea Mradi Wa Tuinuke Pamoja

    July 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.