• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Watumishi Chamwino Wapigwa Msasa Mfumo Wa e- Utendaji

Imewekwa: July 8th, 2025

Maafisa kutoka Ofisi ya Rais Utumishi wakiongozwa na Ndg. Rashidi Shedafa wakishirikiana na wataalam kutoka Halmashauri wameendesha mafunzo ya mfumo wa e-utendaji kwa Wakuu wa Idara, Sehemu, Watendaji wa Kata, Wakuu wa Shule, Walimu Wakuu na Waganga Wafawidhi ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

Mafunzo hayo yamefanyika leo Julai 8, 2025 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri yenye lengo la kuendelea kuwajengea uwezo watumishi ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino katika kujaza majukumu yao ya kila siku.

Mfumo wa e- utendaji umekuwa ukitumiwa na watumishi wa ngazi mbalimbali wa Serikali kujaza majukumu yao ya kila siku na kufanyiwa tathmini za utendaji wa kazi zao kupitia mfumo huo.

Akizungumza wakati akifungua mafunzo hayo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino Ndg. Tito Mganwa alianza kwa kuwapongeza Watumishi kwa kazi kubwa waliyoifanya katika mwaka wa fedha uliyoisha wa 2024/2025 kwa kuiwezesha Halmashauri kufikisha wastani wa asilimia 96.7 na hivyo kuifanya Halmashauri kushika nafasi za juu ngazi ya Taifa katika mfumo wa E-Utendaji.

Pamoja na pongezi hizo Ndg. Mganwa amewataka watumishi kuongeza juhudi katika utekelezaji wa majukumu katika mfumo huo ili kuhakikisha Halmashauri inafikisha asilimia 100 kwa mwaka wa fedha mpya wa 2025/2026.

“Asilimia 96 ni nzuri tumejipongeza lakini tuwe na malengo ya kufikisha asilimia 100 na inawezekana tuwe na malengo makubwa 100 iwe ndo lengo na iwe jitihada yetu ya kila siku.”Alisema Ndg. Mganwa.

Sanjari na hilo, Mkurugenzi Mtendaji amewahasa Watendaji wa Kata kuhakikisha wanasimamia vyema ukusanyaji wa mapato ili kuzuia upotevu mkubwa wa mapato katika maeneo yao.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Watumishi Chamwino Wapigwa Msasa Mfumo Wa e- Utendaji

    July 08, 2025
  • Manejimenti Chamwino Yapokea Mradi Wa Tuinuke Pamoja

    July 02, 2025
  • Katibu Tawala Chamwino Ahimiza NGO'S Kutoa Taarifa Za Utekelezaji Wa Shughuli Zao

    June 20, 2025
  • Mwenyekiti Halmashauri Chamwino Awashukuru Waheshimiwa Madiwani Na Wakuu Wa Idara

    June 18, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.