• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Wanawake Washauriwa Kuepuka Mikopo Ya Kausha Damu

Imewekwa: November 25th, 2023

Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg. Mary Chatanda amesema uwepo wa Mikopo kwa Wanawake na vijana wenye ulemavu ni fursa katika jamii na watumiaji wa mikopo hiyo kwani inaongeza mapato kwa Jamii.

Ndg.Chatanda ameyasema hayo leo tarehe 25 Novemba 2023 katika kikao cha mapokezi ya ziara yake Katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino Mkoa wa Dodoma.

“Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza kwa Waziri wa TAMISEMI ili kuepusha na kupunguza changamoto za mikopo ya kausha damu na mwendokasi kwa wananchi wake.

“Wanawake na vijana wenye ulemavu wanashauriwa watumie mikopo iiliyoletwa ili kutatua changamoto zinazo wakabili na kukopeshwa kupitia mabenki na wenye vikundi viandaliwe ili waweze kupewa mafunzo ya umuhimu na faida za mikopo kwa wananchama wao” amesema Chatanda.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Gift Isaya Msuya amesema Serikali ya awamu ya Sita imeleta zaidi ya Bilion 111 kwa ajili ya ukarabati na ujenzi wa shule za msingi, Sekondari na ujenzi wa Vyuo vya ufundi VETA.

“Lengo la Rais kwa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino ni kuhakikisha watoto wanapata Elimu iliyobora na yenye uhakika ili waweze kutimiza Malengo Yao katika maisha Yao ya baadae” Amesema Mhe. Msuya.

Vilevile Ndg.Chatanda amefanya ziara ya kukagua miradi ya Hospitali ya Wilaya ya Chamwino yenye thamani ya Shilingi Bilioni 3.1, kukagua Mradi wa Chuo cha VETA wenye thamani ya Shilingi Bilioni 1.4 na kusikiliza kero za wananchi pamoja na kuzitatua.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Wakuu Wa Shule Wapatiwa Mafunzo Ya Mfumo Wa NeST

    March 21, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.