• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SERIKALI YATOA MAAGIZO KWA VIONGOZI MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

Imewekwa: November 25th, 2020

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Mhandisi Joseph Nyamhanga amewaagiza wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi  wa Halmashauri kuhakikisha wanaanza maandalizi kwa ajili ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza hapo mwakani.

Mhandisi Nyamhanga ametoa agizo hilo leo jijini Dodoma wakati wa kuelezea tathimini ya matokeo ya darasa la saba kwa mwaka 2020 ambapo ufaulu wake umekuwa asilimia 82.68.

Amesema viongozi wa mikoa, wilaya na halmashauri wakishirikiana na wadau wa elimu wanatakiwa kuhakikisha miundombinu, samani na kuweka mazingira mazuri yakuwapokea wanafunzi wote watakaochaguliwa kuanza kidato cha kwanza Januari 2021.

“Kwa sasa tuko katika mchakato wa kuchagua wanafunzi watakaojiunga na kidato cha kwanza januari 2021, hivyo viongozi waanze kuweka mazingira ya kuhakikisha wanafunzi wote waliochaguliwa wanasajiliwa shuleni bila vikwazo vyovyote ili kutekeleza sera ya elimumsingi bila malipo” Amesisitiza Nyamhanga.

  Amewakumbusha wazazi na walezi kuhakikisha wanafunzi watakaochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza wanaadikishwa na kuhudhuria kikamilifu darasani.

Aidha, Mhandisi  Nyamhanga ametumia fursa hiyo kuwakumbusha  viongozi wa mikoa, wilaya na halmashauri kukamilisha maandalizi yote yanayotakiwa kwa ajili ya uandikishaji wa wanafunzi wa shule za awali na darasa la kwanza watakaoanza masomo Januari 2021.

Hata hivyo, Mhandisi Nyamhanga amepongeza Mikoa mitatu ya Simiyu, Mara na Lindi amabayo wastani wa ufaulu umekuwa ukiongezeka kila mwaka kwa miaka mitatu mfululizo matokeoya Elimu ya Msingi.

Mkoa wa Simiyu ufaulu umekuwa ukiongezeka kutoka wastani wa asilimia 70.65 mwaka 2018 hadi kufikia asilimia 91.98, huku Mara ikiongeza wastani wa ufaulu kwa asilimia 63.68 mwaka 2018hadi kufikia asilimia 77.98 mwaka 2020 huku Lindi imeongezeka kutoka asilimia 68.71 mwaka 2018 hadi kufikia asolimia 82.25 mwaka 2020.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.