• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Naibu Waziri Muungano na Mazingira Afanya Ukaguzi Shughuli za uchimbaji Madini, Nayu, Chamwino

Imewekwa: August 10th, 2022

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Khamis Hamza Khamis amefanya ziara ya kukagua shughuli za uchimbaji wa madini katika eneo la msitu wa hifadhi wa Chinyami kijiji cha Nayu kata ya Dabalo Wilayani Chamwino.

Ziara hiyo imefanyika leo Agosti 10,2022 ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na wawekezaji ( wachimbaji wadogo) pamoja na wananchi wa eneo hilo.

Katika ziara hiyo Naibu waziri amebaini baadhi ya taratibu za uchimbaji kukiukwa na hivyo ametoa maelekezo kwa wachimbaji hao wayatekeleze ndani ya mwezi mmoja na ikiwa watashindwa kufanya hivyo watafungiwa kuendelea na shughuli hizo za uchimbaji.

Mhe. Naibu waziri ameelekeza wachimbaji hao waende Taasis zote zinazohusika na utoaji wa vibali vya uchimbaji madini ikiwemo Wakara wa misitu(TFS), Bonde la maji Wami - Ruvu na NEMC waombe vibali. 

"Nendeni kwenye taasis zote zinazohusika mkapate vibali. Tunataka uwekezaji wenye tija utakaokuwa na faida kwa wote." Amesema Naibu Waziri.

Vilevile Naibu Waziri ametoa mwezi mmoja kwa wachimbaji kutengeneza utaratibu mzuri wa kudhibiti maji yanayotumika kuosha dhahabu yasilete athari kwa binadamu na mazingira.

" Maji yenye sumu yanaweza kuleta magonjwa kama mapafu na miti inaweza isiote. Athari ya sumu huipati leo.Maji hayo yanatiririka na kwenda kwenye vyanzo vya maji na watu wanayatumia kulima, kufuga samaki, kunywa, kuoga." Amesema Naibu Waziri.

Rai pia imetolewa kwa wote wanaotorosha madini na ameomba waache mara moja na badala yake madini yanayopatikana kwenye eneo hilo yauzwe kwenye masoko ya madini ili kuiwezesha Serikali kupata mapato.wanaotorosha madini watachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.

"Serikali yetu inahitaji mapato. Kuna watu wanatorosha madini. Kuna masoko ya kuuzia madini. Jambo hilo liachwe, kauze madini sehemu halali inayohusika. Ukitorosha sheria itakuandama." Amesema Naibu Waziri.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.