• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Madiwani waaswa Kusimamia Amani

Imewekwa: November 9th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Gift Isaya Msuya ametoa rai kwa Wahe. Madiwani kuhakikisha wanachukua tahadhari dhidi ya mambo madogo madogo ya uvunjifu wa amani kwenye maeneo yao. Ameyasema hayo kwenye kikao cha Baraza la Madiwani Novemba 8, 2022. Alieleza kuwa iwapo atatokea mtu anataka kuharibu amani taarifa itolewe ili aweze kuchukuliwa hatua.

" Ni vema tukachukua tahadhari ya mambo madogo madogo ya uvunjifu wa amani kwenye maeneo yetu. Tukionamtu yeyote anataka kuharibu amani, tulitolee taarifa suala hilo ili achukuliwe hatua." Alisema Mkuu wa Wilaya.

Alieleza pikuwa kuna baadhi ya viongozi wanaoongoza migomo na maandamano na kusema Serikali haiongozwi kwa mihemuko. Aliongeza kusema kuwa Serikali  tayari imeanza kuchukua hatua kwa viongozi hao

Vilevile Mkuu wa Wilaya alisisitiza kuhusu suala la ukusanyaji wa mapato kwani fedha zinahitajika kupelekwa kwenye miradi ya maendeleo, na kueleza kuwa Mkuu wa Mkoa ametoa maelekezo kwa kila Halmashauri kuhakikisha inakusanya kwa 100%. Alieleza kuwa Madiwani wakiamua hawawezi kushindwa kukusanya kwa 100%.

" Maelekezo ya Mkuu wa Mkoa hangependa Halmashauri ikusanye chini ya 100%." Alisema Mkuu wa Wilaya.

Aidha Mkuu wa Wilaya alitilia mkazo kuhusu suala la kukamilisha miradi ya ujenzi wa madarasa kwa wakati kulingana na muda wa kukamilisha uliowekwa na mkoa wa tarehe 31, Novemba 2022.

Alisisitiza pia kuhusu suala la umoja na mshikamano kwani maendeleo wanayoyafanya ni kwa ajili ya manufaa ya wananchi. Aliomba kila mmoja afanye kazi kwenye mipaka yake na kuwe na kuheshimiana.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Wakuu Wa Shule Wapatiwa Mafunzo Ya Mfumo Wa NeST

    March 21, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.