• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Kuelekea kilele cha Siku ya Wanawake Duniani Chamwino Yaazimisha kwa Kuchangia Nguvu Kazi Ujenzi wa Zahanati

Imewekwa: March 3rd, 2023

Kuelekea kilele cha Siku ya Wanawake duniani Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino imeadhimisha kwa kuchangia nguvu kazi kwenye ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Chitàbuli kata ya Membe leo Machi 3, 2023. 

Akizungumza katika maadhimisho hayo mgeni rasmi Katibu Tawala wa Wilaya Bi Neema Nyalege aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya Mhe. Gift Isaya Msuya amewapongeza kwa jambo zuri la kuanźisha ujenzi wa zahanati. Alitoa rai waendelee kuhamasishana ili kukamilisha ujenzi huo ili Serikali iweze kukamilisha walau kufikia bajeti ya mwaka ujao wa 2023/2024

Vilevile Elimu imeweza kutolewa ya namna ya kukabiliana na suala zima la ukatili mbalimbali unaotokea kwenye jamii, namna ya kupata msaada wa kisheria, mbinu za kilimo bora hususani suala là kilimo cha mbogamboga

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • RATIBA YA MAFUNZO YA MFUMO WA MADENI,MIS June 26, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Naibu Waziri Ndejembi Akabidhi Vifaa Vya Ujenzi, Chamwino

    March 10, 2023
  • Chamwino Yaungana na Wanawake Mkoa wa Dodoma Kuazimisha Siku ya Wanawake Duniani

    March 08, 2023
  • Kuelekea kilele cha Siku ya Wanawake Duniani Chamwino Yaazimisha kwa Kuchangia Nguvu Kazi Ujenzi wa Zahanati

    March 03, 2023
  • Chuo Kikuu cha UDOM Watoa msaada Shule ya Msingi Buigiri Blind

    February 25, 2023
  • Angalia Zote

Video

JITIADA ZA RC DOM DKT. MAHENGE KUWAINUA VIJANA KIUCHUMI KUPITIA KILIMO,
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.