• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Kongamano la Vijana Kiuchumi

Imewekwa: October 30th, 2022

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, vija, Ajira na wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi amewataka vijana kuzitumia fursa zinazotolewa na Serikali ili kujiletea maendeleo katika mazingira wanayoishi.

Akizungumza katika kongamo la vijana lilifonyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino 28, Oktoba 2022, amesema wajibu walio nao Ofisi ya Waziri Mkuu wanaojihusisha na ajira kwa vijana kuwa wanahakikisha wanabadilisha mtazamo kwa vijana.

Mhe. Katambi amesema Serikali ina wajibu wa kutimiza yale yanayotakiwa kwa vijana na wanapaswa kufanya mambo ambayo yatawaletea manufaa baadaye.

 “Wajibu mkubwa tulionao Ofisi ya Waziri Mkuu wanaoshughulika na masuala ya vijana ni kuhakikisha tunabadilisha mitazamo na tuwe na mitazamo chanya kwa vijana na kubadilisha mitazamo, fikra sio jambo rahisi".

“Kwamba Serikali inatengeneza mazingira wezeshi ya kuwasaidia vijana na kuhakikisha wale vijana ambao wako kwenye masuala ya kujikwamua kiuchumi inaweka progamu mbalimbali pia kijana fanya mambo ambayo jamii itakuelewa baadaye na hatakama sio baadaye itaelewa kwa mambo mema unayofanya,” amesema.

Katambi amesema vijana wanapaswa kufuatilia na kujua utaratibu wa kujipatia mikopo kupitia fungu linalotengwa na Serikali kupitia Afisa maendeleo ya vijana na Afisa maendeleo ya Jamii ambao wapo kwenye maeneo yao ya Halmashauri ili kujikwamua kiuchumi 

Hata hivyo amesema vijana wanapaswa kujiunga na vikundi ili waweze kupata mikopo hiyo na kuzitumia kwa malengo endelevu katika jamii

Amesema pia Serikali imeweka mpango wa mikopo kwa ajili ya elimu ya juu.

“Serikali imeanzisha sheria nyingine ya fedha za Halmashauri ambapo kutakuwa na mgawanyo wa asilimia kumi (10%) ya mapato ghafi ya Halmashauri, asilimia kumi (10%) kila mwaka zitengwe kwaajili ya shughuli za vijana, kwa vijana tunapata asilimia nne (4%), kwa wanawake asilimia nne (4%) na kwa watu wenye ulemavu asilimia mbili (2%) na sharti ni kwamba mjiunde katika makundi ya vijana kumi (10) ili mpewe fedha hizo na zimekuwa zikitoilewa nchini kote.

“Ni wewe tu kufuatilia fursa na kuweza kupata taarifa rasmi kupitia Afisa maendeleo ya vijana na Afisa maendeleo ya Jamii ambao wapo kwenye maeneo yetu, fedha zinatolewa lakini changamoto pia imekuepo hatuzi tumii vizuri au hatuhamasiki kwenda lakini pia vijana hatujitokezi kwenda kujiunga kwenye vikundi, sasa hapo ni kwa aliye soma na siyesoma Serikali imekuwekea mpango,” amesema.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Chamwino Yaweka Mikakati Kuhakikisha Wanafunzi Wanamaliza Mzunguko Wa Elimu

    May 28, 2025
  • Wamiliki Mashine Za Kusaga Nafaka Wahimizwa Kufunga Vinyunyizi Vya Virutubisho

    May 26, 2025
  • Mchengerwa Awataka Maafisa Habari Kuhakikisha Wananchi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • Miche 350 Ya Matunda Yapandwa Kuadhimisha Kampeni Ya "Mti Wangu Birthday Yangu"

    May 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.