• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Waheshimiwa Madiwani Chamwino Wapewa Elimu Kilimo cha Pamba

Imewekwa: September 8th, 2022

Balozi wa zao la pamba nchini Agrey Mwanri ametoa elimu kuhusu kilimo cha zao hilo kwa Wahe. Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chanwino.

Maelekezo hayo ameyatoa leo, Septemba 07, 2022 kwenye kikao maalum cha Baraza la Madiwani la mwaka kilichofanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri

Akizungumza kwenye kikao hicho Mwanri amesema Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino imepangiwa kuvuna kilo milioni nne za pamba.

Aliendelea kueleza kuwa makubaliano yaliyowekwa ni walau kila Halmashauri izalishe mara mbili ya lengo walilopewa.

Mwanri alieleza kuwa Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa wameelekezwa na Mhe. Rais kuhakikisha malengo yaliyowekwa yanafikiwa.

Maelekezo ya namna ya kulima zao hilo la pamba kwa mavuno yenye tija yalitolewa ambapo kipimo ni sentimita 50 kwa 30 ambapo ukipanda kwa kipimo hiki unapata miche 4444 kwa ekari moja.

Balozi wa zao la pamba aliwahimiza wahe. Madiwani wawahimize wananchi kulima pamba kwani kupitia kilimo hicho Halmashauri itanufaika kwa kuongeza mapato pamoja na kukuza uchumi wa mwananchi mmojammoja na Halmashauri kwa ujumla.

Mkilima pamba Halmashauri itapata ushuru(produce cess) na hali ya maisha ya wananchi itakuwa nzuri." Alisema balozi wa pamba.

Aidha alieleza kuwa kwa wakulima watakaolima pamba wataletewa mbegu, viuatilifu na mifuko vitavyotolewa kwa mkopo na ambao utalipwa baada ya kuvuna na kuuza.

" Tutaleta mbegu, viuatilifu na mifuko vitakavyokopeshwa na mkulima ataulipa mkopo huo baada ya kuvuna na kuuza pamba yake." Alisema balozi wa pamba.

Alihimiza watumie fursa hiyo ambayo imetolewa na Serikali kwani kilimo cha pamba ulimaji wake hauhitaji mvua nyingi na kwa hali ya hewa ya Chamwino zao linaweza kustawi vizuri.

' Fursa hazitolewi, fursa zinachukuliwa, hivyo tumieni fursa hii iliyotolewa na Serikali kwani zao la pamba halihitaji mvua za kitimutimu kama zak la mpunga au miwa." Alisema balozi wa pamba.

Vilevile alitoa maelekezo ya mambo ya kuźingatia kwenye kupanda, kupalilia, kupuliza dawa, kuvuna pamoja na vifaa vinavyofaa kwa kuvunia kwa mavuno yenye tija. Pia alieleza kwa sasa bei ya pamba kwa kilo imepanda inauzwa kwa wastani wa shilingi 2200.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.