• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Wafanyabiashara na Wawekezaji Chamwino Timizeni Wajibu Wenu Kwa Kulipa Kodi

Imewekwa: November 28th, 2023

Serikali inawajibu wa kuweka mazingira mazuri kwa wafanyabiashara na wafanyabiashara wanawajibu wa kulipa kodi ya Serikali.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa wilaya ya Chamwino Mhe. Gift Isaya Msuya kwenye mkutano wa  Baraza la Biashara la Wilaya uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri, Novemba 27, 2023.

'Kuna suala linaitwa haki na kunasuala linaitwa wajibu, serikali inahaki ya kuwatengenezea wafanyabiashara na wawekezaji mazingira mazuri ya kufanya biashara na kuwekeza lakini upande wa pili wafanyabiashara na wawekezaji pia wanawajibu wa kuhakikisha wanalipa kodi, wanalipa tozo, wanashirikiana na Serikali kwenye masuala ya uwekezaji na kurudisha kwa jamii kama sehemu ya faida wanayoitengeneza." Alisema Mhe. Gift.

Amewaomba upande wa sekta binafsi kulisimamia na kushirikiana na Serikali bila shuruti kwa wakati mwingine hata kulipa kodi au kukata leseni mpaka washurutishwe ndipo atekeleze.

Aliwakaribisha kuwekeza kwenye miradi mikubwa inayotekelezwa ndani ya Wilaya na kutumia fursa zilizopo, alitolea mfano kuwa watu wanatoka mbali kama vile kigoma kutafuta fursa hizo.

Alieleza kuwa kwenye bwawa la Membe watashirikiana na Wizara ya mifugo kuhakikisha wanawekeza kwenye ufugaji wa samaki, na bwawa lina zaidi ya lita bilioni sita za maji yatakyokusanywa.

Adha alieleza kuwa bwawa la Membe limejengwa kimkakati na mkakati wa kwanza ni kupunguza wingi wa maji kutoka kwenye safu za milima za Wilaya ya chamwino na maeneo mengine yanayoharibu miundombinu ya barabara, madaraja. Anatamani Chamwino iwe ni mfano wa kila kitu ikiwemo utunzaji wa mazingira, upangaji wa miji na ukusanyaji wa mapato kwa kuwa ni wilaya inayobeba heshima ya Taifa letu.

Naye Mkurugenzi Mtendaji Dkt. Semistatus H. Mashimba alisisitiza kuhusu suala la ushirikiano kati ya wafanyabiashara, wawekezaji na Halmashauri kwenye maeneo yote.

Naye Afisa biashara wa Wilaya Bibi Bertha Msaki alitumia mkutano huo kuelezea fursa zilizopo ndani ya Wilaya ya Chamwino ikiwemo uwekezaji kwenye kilimo na uwepo wa viwanda vidogo na vya kati.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Wakuu Wa Shule Wapatiwa Mafunzo Ya Mfumo Wa NeST

    March 21, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.