• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Wadau Chamwino Wajadili Mikakati Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji

Imewekwa: August 1st, 2023

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na Agricultural Marketing Development Trust wamefanya kikao na wakuu wa Idara za Uwekezaji, viwanda na biashara, Idara ya kilimo, umwagiliaji na Ushirika pamoja na wawakilishi wa wafanyabiashara na wakulima Halmashauri ya wilaya ya Chamwino chenye lengo la kuandaa mkakati wa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji mkoa wa Dodoma.

Kikao kimefanyika Agosti mosi, 2023 kwenye ukumbi wa Halmashauri ambapo wajumbe waliwasilisha na kujadili changamoto mbalimbali zinazokwaza uwekezaji ndani ya wilaya ya Chamwino.

Akizungumza kwenye kikao hicho alipokuwa anawakaribisha wageni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chamwino Dkt. Semistatus H. Mashimba amewashukuru Mkuu wa Mkoa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma kwa ujio wa wageni hao, pia amewakaribisha na kuwaomba kuichukulia Chamwino kwa jicho la kipekee kwani Halmashauri hii ndio makazi ya Mhe. Rais, hivyo miradi na mambo yanayotekelezwa yanapaswa kuwa ya kiwango juu.

Aidha alisema Halmashauri ya Chamwino ipo kwenye mlengo huohuo wa kufanya wekezaji kwenye sekta ya kilimo na mifugo. Aliwakaribisha kwenye Mkutano maalum wa wadau kwa ajili ya kuanzisha Jukwaa tendaji la kilimo, mifugo na Ardhi unaotarajiwa kufanyika Agosti 4, 2023 kwenye Ofisi za Halmashauri.

Sambamba na hayo Dkt. Mashimba alishauri wataalam hao waweze kuangalia ni kwa namna gani wanaweza kuanzisha utalii wa Ikulu.

"Nashauri kwenye fursa za uwekezaji mnaweza kuangalia ni namna gani tunaweza kutengeneza utalii wa Ikulu, kwa maana kwenye hii Wilaya ni lazima tuwe na utalii wa eneo husika maana ninyi ni wataalamu wa mambo haya." Alisema Dkt. Mashimba.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.