• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Vikundi Vya Wanawake, Vijana Na Watu wenye Ulemavu Vyanufaika na Mkopo Chamwino

Imewekwa: December 5th, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino imetoa mikopo yenye thamani ya Tshs. 203,300,000/= kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu vilivyokidhi masharti ya kupatiwa mikopo ya Serikali. 

Vikundi vilivyopewa mkopo  vinajishughulisha na shughuli mbalimbali ikiwemo kilimo cha bustani kwa njia za umwagiliaji, ufugqji na unenepeshaji wa mifugo, usindikajiwa mafuta, biashara ya saluni, utengenezaji wa samani na mama lishe, biashara ya kubeba mizigo na abiria yaani BODABODA na Usafi wa mazingira.

Hafla ya utoaji wa mikopo imefanyika leo Disemba 05, 2024 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ambapo mgeni Rasmi alikuwa ni Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Edson Sweti ambapo amekabidhi hundi yenye thamani ya Tshs 203,300,000/=

Akizungumza kwenye hafla hiyo Mhe. Edson Sweti amewataka wanufaika wa mikopo hiyo matumizi kuzingatia malengo waliyoombea mikopo kwani kimyume na hivyo watashindwa kutimiza malengo ya mikopo pamoja na kushindwa kurejesha marejesho.

"Hakuna mtu yeyote duniani aliyendelea pasipo kukopa' hata mimi ninamkopo benki, isipokuwa mnachotakiwa kuzingatia ni kutumia fedha mliyopewa kwa malengo yaliyokusudiwa. Isije vijana mkachukua mkopo kwenda kuolea aukina mama mkadanganywa na waume zenu kachukua kidogo kwenda kufanyia matumizi au mkaona gauni mpya ukasema utoe hapo ununue hata ndugu yako akikuomba usimpe maana utashindwa kurejesha na utakayedaiwa ni wewe uliyechukuwa mkopo." Alisema Mhe. Sweti.

Naye mwakilishi wa Mkurugenzi mtendaji Bibi Zaina Msangi ameeleza kuwa Halmashauri itaendelea kutoa mikopo kwa vikundi kila robo mwaka kulingana na upatikanaji wa fedha za mapato ya ndani. Aidha alieleza kuwa kwa mwaka huu wa fedha imetengwa bajeti ya Tshs. 243,000,000/= kwa ajili ya vikundi vya wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu.

Hata hivyo Mkurugenzi Mtendaji aliendelea kueleza kuwa Halmashauri inaendelea na uratibu wa utambuzi na usajili wa wafanyabiashara ndogondogo ( Machinga) ambapo mpaka sasa wafanyabiashara ndogondogo 137 wamesajiliwa na Halmashauri imepokea vitambulisho vya awali 117 vya wafanyabiashara hao toka ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya kuwakabidhi kwa ajili ya mchakato wa kupata huduma nyingine.

Vitambulisho hivyo 117 pia vimekabidhiwa kwa wajasiliamali hao wadogo

Aidha wataalam mbalimbali wamewapatia elimu vikundi na wajasiliamali wadogo wa namna ya kuendesha shughuli zao kwa tija kuwezesha kurejesha mikopo hiyo waliyopewa

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.