• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya

Imewekwa: December 4th, 2018

Hospitali ya Wilaya Inayojengwa Kutowanufaisha Wananchi

Mheshimiwa Livingstone Lusinde Mbunge wa jimbo la Mtera Wilaya ya Chamwino ameyasema hayo kwenye kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika hivi karibuni kwenye ukumbi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Wilaya.

Mhe. Lusinde alisema mbali na hospitali hiyo kupendekezwa kujengwa Kata ya Chamwino ambapo tayari kuna Kituo cha Afya, lakini pia mgawanyo (jiografia) wa Wilaya hiyo hauko vizuri kwani popote pale itakapojengwa Hospitali hiyo ya Wilaya katika Majimbo yote mawili haitoweza kuwanufaisha wananchi Wote waliopo ndani ya Wilaya.

Jambo ambalo liliungwa mkono na Waheshimiwa Madiwani wengine na kueleza kuwa ili wananchi waweze kupata huduma bora zinazokidhi, Wilaya hiyo inapaswa igawanywe .

Akijibu hoja hiyo Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Ndugu Athumani Hassan Masasi, alisema kwa mujibu wa sheria majengo yote ya Serikali yanapaswa kujengwa makao makuu ya Wilaya. Aidha alieleza kuwa uwepo wa Kituo cha Afya hauzuii kuwepo kwa Hospitali ya Wilaya hivyo aliendelea kushauri kuwa ujenzi huo uendelee kwa eneo lililopendekezwa.

Kutokana na mjadala huo Waheshimiwa Madiwani walitoa Maelekezo kwa Mkurugenzi Mtendaji Wilaya kukaa na menejimenti na kuiandikia Mamlaka husika kuhusu pendekezo la kuigawa Wilaya hiyo ili kuleta tija katika kuwahudumia Wananchi.

Aidha taarifa ilitolewa kuwa katika kipindi hiki cha robo ya kwanza cha Julai hadi Septemba Halmashauri imetekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa fedha zilizopokelewa katika robo hii pamoja na fedha zilizovuka mwaka 2017/2018 ambapo jumla ya Shilingi 7,427,214,762.000.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.