• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Senyamule Akagua Miradi Ya Maendeleo Chamwino

Imewekwa: September 15th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Staki Senyamule amefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo na kusikiliza kero za wananchi Wilayani Chamwino Septemba 14, 2023.

Ziara imefanyika kwenye kata za Manchali ambapo amekagua ujenzi wa shule mpya ya wasichanaya mkoa wa Dodoma na shule mpya ya Sekondari ya Kata ya Manchali, Mlowa Bwawani amekagua ujenzi wa chuo cha Veta na katika miradi hiyo yote alitoa maelekezo mbalimbali ya kufuata ili miradi yote iweze kukamilika kwa wakati na kwa ubora.

Vilevile aliwataka wananchi kuwa walinzi wa vifaavilivyopo eneo la mradi kwani kufanya hivyo kunaweza kupelekea miradi kushindwa kukamilika kwa ubora unaotakiwa.

"Kuweni walinzi, hakikisheni hakuna anayeiba kifaa hata kimoja katika eneo hili. Watoto wenu wengine ni vibarua hapa, hakikisheni harudi na kitu nyumbani ambacho amekitoa hapa.Msione furaha leo kwa mfuko mmoja anaopata lakini adha anayosababisha hapa ni kubwa ya kukosa uzalendo na mwisho wa siku kila Mtanzania ni mlinzi wa mali ya Umma na mwisho wapeni mafundi ushirikiano wote unaohitajika ili kazi kwao ziwe rahisi."

Baada ya kukagua miradi alifanya mkutano wa hadhara na wananchi kwenye kata ya Mlowa Barabarani kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi. kero mbalimbali ziliwasilishwa ikiwemo suala la kuunda jumuiya ya watumia maji ambao watasimamia uendeshaji wa mradi wa maji ambalo wananchi walikuwa wakilipinga.

Aidha Mkuu wa mkoa amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano  Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha kwa ajili ya miradi hiyo mikubwa nakueleza kuwa jambo hilo si la kubeza hata kidogo kwani maeneo yenye uhitaji ni mengi kwa mkoa mzima na kwa wilaya pia, lakini wao wamebahatika kupata fedha hizo.

"Endeleeni kuwaambia wengine mambo mazuri na kazi nzuri anazozifanya Mhe. Rais wetu mpendwa. amejitoa kwa ajili ya watanzania. Tumepata bahati shule mbili zinzjengwa kwenye Kata moja, hivyo mlione ni jambo la thamani na halijatokea kwa bahati mbaya. limetokea kwa sababu yupo mtu mmoja pale juu anaitwa Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye ameamua kufanya maendeleo kwa Watanzania. Mkisikia mtu anabeza vitu vya maendeleo muogopeni. Hatuna zawadi ya kumpa nyie mwambieni asante na ungeni mkono juhudi zake."

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.