• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkuu wa Wilaya Chamwino azindua kompyuta na printer kata ya Buigiri

Imewekwa: August 18th, 2022



Mkuu wa wilaya ya Chamwino Mhe. Gift Isaya Msuya amezindua matumizi ya kompyuta na printer, Agosti 17,2022 zilizonunuliwa kupitia kampeni ya NISHIKE MKONO KUINUA UBORA WA ELIMU CHAMWINO ambayo ilianzishwa na yeye mwenyewe. 

Uzinduzi wa vifaa hivyo vya kompyuta umefanyika shule ya msingi buigiri ambapo mashine hizo zitagawiwa kwenye shule nne za msingi pamoja na ofisi ya Mratibu Elimu Kata kwa ajili ya kuchapa na kudurufu mitihani ambayo itasaidia katika kuwaandaa wanafunźi kufanya vizurk kwenye mitihani yao ya kitaifa na hivyo kuinua ubora wa elimu.

Akizungumza kwenye hafla hio amewapongeza na kuwashukuru wote waliochangia Kampeni hiyo ambapo kila kaya ilipaswa kuchangia kiasi cha shilingi elfu tano. Alisema jumla ya michango iliyopatikana ilikuwa ni shilingi milioni 107 na kata ya Buigiri iliweza kuchangia kiasi cha milioni 7.6

Aidha alieleza kuwa kupitia wadau waliweza,kukusanya kiasi cha shilingi milioni 28 ambazo ziligawanywa kwenye kata zilizofanya vizuri kwenye kukusanya michango ikiwemo kata ya buigiri. 

Kata ya buigiri ilipatiwa shilingi milioni 4 ambazo zilipelekwa shule shikizi ya Mizengo pinda ambayo wananchi walijitolea hali na mali kujenga madarasa na Serikali kupita Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kupeleka milioni 60 kwa ajili ua kujenga madarasa 3 na ofisi ya walimu na hivyo wakaona wawaongezee nguvu kwa ajili ya kukamilisha ili shule iweze kuanza.

 Milioni 10 ilipelekwa sekondari ya Ikowa ili kukarabati madarasa 3 na ofisi ya walimu na baadae waliongeza shilingi milioni 3 kwa ajili ya matundu ya vyoo baada ya kuona hakuna matundu ya vyoo.

Vilevile ilitolewa shilingi laki 4 kuwasaidia wanfunzi shule ya Nhinhi waliofaulu vizuri ili waende kidato cha tano na sita ambao wazazi walishindwa kuwapeleka shule kutokana na haoi duni ya maisha. 

 Mkuu wa wilaya alimshukuru Mhe Rais kwa kuwapelekea kiasi cha shilinngi bilioni 2,9 fedha za UVIKO 19 ambazo zilijenga vyumba vya madarasa164. Walishirikiana na jamii kufanya kazi ambazo hazikuwa na ulazima wa kutumia fedha pekee na kufanikiwa kuokoa fedha iliyosaidia kujenga ofisi 75 za walimu na kupata madawati kwa vyumba vyote.

Aidha akieleza kuwa wamefanikiwa kupata usajili wa shule shikizi 4 kati ya tisa walizoziombea usajili. Nyingine hazikufanikiwa kutokana na kukosa matundu ya vyoo, hivyo wamekubaliana na Mkurugenzi wa Halmashauri waweke kwenye bajeti hii iliyaweze kujengwa na shule zisajiliwe kli mwakani zianze kusajili wanafunzi.

Sambamba na kuzindua vifaa hivyo, Mkuu wa Wilaya pia amezindua mfumo ambao utatumika katika kuandaa mitihani ya kuwapima wanafunzi pamoja nakuona mahudhurio yao

 Pia bendera nyekundu anbayo itapeperushwa kwa wazazi ambao hawatawapeleka watoto shuleni na ofisi ya kijiji ambayo itakuwa na kaya nyingi ambazo hazikupeleka watoto shuleni. Baada ya hàpo sheria zitachukuliwa dhidi ya wazazi hao.

Wakiongea kwa nyakati tofauti katika hafla hiyo. Mhe. Diwani wa kata ya buigiri na Mtendaji wa kata wamesema ili kuboresha elimu wanafunzi hawataruhusiwa kutoka nje ya kata mpaka kwa kibali kutoka uongozi wa kata ili kuwabaini ambao hawataripoti shueleni kwa wakati ili waweze kutafutwa na kurudishwa shuleni.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Wakuu Wa Shule Wapatiwa Mafunzo Ya Mfumo Wa NeST

    March 21, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.