• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mdonondo apita kwa kishindo Mwenyekiti Halmashauri ya Chamwino

Imewekwa: December 11th, 2020

Na Brian Machange - Chamwino

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino leo tarehe 11 Disemba 2020, limefanya Mkutano wake wa kwanza katika ukumbi wa Ofisi za Kijiji cha Chamwino Ikulu na kumchagua Diwani wa kata ya Mvumi Makulu kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Edson Mdonondo kwa kura 51 kati ya 51 zilizopigwa hivyo kumfanya kushinda na kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chamwino.

Aidha Baraza hili limemchagua Diwani wa kata ya Buigiri Mhe. Kenneth Yindi kuwa Makamu Mwenyekiti kwa kura 51 kati 51 zilizopigwa.

Akiongea baada ya Ushindi huo, Mhe. Mdonondo alitoa shukrani za dhati kwa Chama chake na Waheshimiwa Madiwani wote waliomuamini na kumpigia kura na kuahidi kushirikiana nao katika kuwatumikia wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Vumilia Nyamoga amesema kuwa Uchaguzi umeisha na kazi inayofuata ni ya Madiwani kutekeleza wajibu wao kwa mujibu wa Sheria, kanuni na maelekezo. Aidha amewataka kuhakikisha kuwa wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha Kwanza 2021 wanaripoti shuleni mara shule zitakapofunguliwa.

 Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chamwino Bw. Athuman Masasi amempongeza Mwenyekiti na Makamu wake kwa ushindi wa kishindo pamoja na waheshimiwa Madiwani na kuwahakikishia kutoa ushirikiano kwa yale yote watakayokuwa wanajadiliana kwenye vikao wanayatekeleza kwa wakati na kwa ufanisi wa hali ya juu.

Madiwani wateule wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino wakila kiapo leo tarahe 11 Disemba 2020.

Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Chamwino wakiwa katika mavazi yao maalumu tayari kwa kuanza kikao mara baadaya kuapishwa leo tarehe 11 Disemba 2020 katika ukumbi wa Ofisi za kijiji cha Chamwino Ikulu.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.