• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mdahalo Kuelekea Maadhimisho ya Miaka 63 Ya Uhuru Tanzania Bara Yafanyika Chamwino

Imewekwa: December 9th, 2024

Kuelekea maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanzania Bara, Wilaya ya Chamwino imefanya mdahalo kuenzi uhuru huo wa miaka 63 wa Tanzania Bara uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa shule ya sekondari Chamwino.

Mdahalo huo uliongozwa mbele ya mgeni rasmi Katibu Tawala wa Wilaya ya Chamwino Bi. Neema Nyalege ambaye alimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mh. Janeth Mayanja katika kuadhimisha miaka 63 ya uhuru wa Tanzania Bara uliopatikana mnamo mwaka 1961 na kilele cha maadhimisho hayo huadhimishwa kila mwaka ifikapo tarehe 9 Desemba.

Pia kuelekea katika maadhimisho hayo ambayo kwa mwaka huu yamebeba kauli mbiu isemayo “Uongozi Madhubuti na Ushirikishwaji wa Wananchi ni Msingi wa Maendeleo Yetu” yalipambwa kwa mdahalo huo ambao ulibeba mada kuu mbili zilizochangiwa na washiriki mbalimbali ambazo ni “Msingi wa Uhuru Wetu na Maendeleo Endelevu ya Taifa Letu” pamona na “Falsafa ya 4R, Uongozi Madhubuti na Ushirikishwaji wa Wananchi katika Ujenzi wa Taifa Letu”.

Akizungumza katika mdahalo huo Bi. Nyalege amewashukuru washiriki wote walioshiriki katika mdahalo huo kwa kutenga muda wao kuhudhuria mdahalo hasa wanafunzi wa shule za sekondari na msingi kwani wamejifunza mengi kupitia yale yaliyojadiliwa.

Baadhi ya wachangiaji waliochangia mdahalo huo akiwemo Meneja wa Wakala wa Misitu (TFS) Wilaya ya Chamwino Ndg. Samwel Matula ametaja baadhi ya mafanikio yalitokea katika miaka 63 ya uhuru wa Tanzania bara yakiwemo kuanzishwa kwa chuo cha misitu mwaka 1984 Mkoani Morogoro (SUA), pamoja na kuongezeka kwa watumishi katika ngazi ya kila wilaya ambao wanasimamia na kulinda rasilimali za misitu.

Aidha, kwa upande wa Ndg. Godfrey Mnyamale ambaye alimuwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino Ndg Tito P. Mganwa amepongeza Serikali za awamu zote zilizohudumu baada ya kupatikana uhuru wa Tanzania Bara pamoja na kutaja mafanikio na kupongeza Serikali ya awamu ya sita katika sekta ya kilimo kwa ongezeko la bajeti ya Wizara ya Kilimo ambapo awali ilipatiwa Tsh milioni 200 tu na kwa sasa imefikia Tsh Trilioni 1.1 ambapo ni ongezeko la zaidi ya asilimia 700 ya bajeti.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.