• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mayanja Azindua Zoezi La Uboreshaji Wa Daftari La Wapiga Kura Chamwino

Imewekwa: September 22nd, 2024


Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Janeth Mayanja amefanya uzinduzi wa zoezi la uboreshaji wa daftari la wapiga kura Jimbo la Chamwino Septemba 21, 2024 ambao umefanyika kwenye kiwanja cha michezo kikichopo kijiji cha Chamwino.

Akizungumza katika uzinduzi huo amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwa wanaojiandikisha kwa mara ya kwanza ambao wametimiza umri wa miaka 18 na kuendelea na kwa ambao watakuwa wametimiza miaka 18 mwakani 2025 kipindi cha uchaguzi na pia kwa wale watakaokuwa wanaboresha taarifa zao kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kuhama maeneo waliyokuwa wakiishi zamani.

Ameeleza kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamejiwekea mazingira ya kuweza kuchagua viongozi wao kama vile Madiwani, Wabunge Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu wa mwakani 2025.

Amewaomba wananchi waitumie nafasi hiyo vizuri ili mwakani wasisimuliwe bali wao wenyewe waweze kushiriki kupiga kura.

Vilevile mkuu wa Wilaya amewataka wananchi kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa utakaofanyika 27 Novemba 2024 ambapo uandikishaji wake unatarajia kuanza kufanyika kuanzia tarehe 11hadi 20 Oktoba 2024.

"Kila aliyefika hapa akawe balozi kwa kufikisha ujumbe huu kwa watu waliknyuma yake ili bao waweze kushiriki kwenye zoezi hili la kujiandikisha kwenye nazoezi yote haya hawili." Alisema Mkuu wa Wilaya.

Uzinduzi ulitanguliwa na mechi ya mpira wa miguu kati ya Veterani Fc na Buigiri Fc ambapo Veterani Fc waliibuka na ushindi wa goli moja kwa sifuri. Zilitolewa zawdi za mpira mmoja mmoja kwa kila timu na pesa taslim, Vilevile pesa taslim kwa marefa na kamisaa wa mchezo huo.

Aidha burudani nbalimbali za ngoma ziliupamba uzinduzi  huo.

Hata hivyo Mkuu wa Wilaya pia alizindua zoezi la uboreshaji wa daftari la mpiga kura kwa jimbo la Mvumi napema asubuhi ya Septemba 21, 2024.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Katibu Tawala Chamwino Ahimiza NGO'S Kutoa Taarifa Za Utekelezaji Wa Shughuli Zao

    June 20, 2025
  • Mwenyekiti Halmashauri Chamwino Awashukuru Waheshimiwa Madiwani Na Wakuu Wa Idara

    June 18, 2025
  • Chamwino Yapongezwa Kupata Hati Safi Kwa Hesabu Za Mwaka 2023/2024

    June 16, 2025
  • Mheshimiwa Mayanja Aongoza Zoezi La kuteketeza Ekari Mbili Za Bangi Membe

    June 15, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.