• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Furaha Yatawala Maadhimisho Ya Siku Ya Wanawake DunianiWilayani Chàmwino

Imewekwa: March 7th, 2025

Halmashauri ya Wilaya Chamwino terehe 6 Machi, 2025 imeadhimisha siku ya Wanawake Duniani yakiongozwa na mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Janeth Mayanja yaliyofanyika katika viwanja vya Mpwayungu.

Sherehe hizo za maadhimisho hayo yaliyobeba kauli mbiu “Wanawake na Wasichana 2025 Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji” zilitawaliwa na furaha na shamra shamra mbalimbali pamoja na ujumbe uliobebwa kutoka kwa viongozi na wadau waliohudhuria sherehe hizo.

Akizungumza katika maadhimisho hayo Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Janeth Mayanja amewahasa Wanafunzi wa kike kutoa taarifa kwa mamlaka husika endapo wanakwamishwa kutimiza ndoto zao za masomo na familia zao.

“Watoto wa kike wote waliopo hapa wajue wakipitia changamoto yeyote wakatoe taarifa kwa wenyeviti wa vitongoji, vijiji, watendaji wa vijiji, kata, kwa waheshimiwa madiwani mkatoe taarifa Serikali imejipanga vizuri kuhakikisha ndoto zenu zinatimia”. Alisema Mh. Mayanja.

Akiendelea na suala la elimu kwa mtoto wa kike amewahasa wazazi kuwaachia watoto wao urithi wa elimu.

“Na katika hili niwaombe Wazazi na Walezi na Wananchi wote waliokusanyika mahali hapa hakuna urithi pekee ambao tunaweza tukawapa watoto wetu isipokuwa elimu unaweza kumpa nyumba ikatokea tetemeko nyumba ikabomoka, lakini mtoto wako akipata elimu ni urithi wake wa milele”. Alisema Mh. Mayanja.

Aidha, zawadi mbalimbali na vyeti vya pongezi zilitolewa kwa Wanawake ambao wameonesha juhudi za kujituma na kushiriki uhamasishaji wa masuala mtambuka katika jamii.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.