• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Dkt. Mashimba:"Hakuna sababu ya kufanya vibaya kielimu Chamwino"

Imewekwa: August 24th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chamwino Dkt. Semistatus Mashimba amesema kuwa haoni sababu ya Wilaya ya Chamwino kufanya vibaya kwenye sekta ya elimu ilihali tunawatu webye nguvu ya ushawishi bungeni na kwenye serikali.

Dkt. Mashimba ameyasema hayo hivi karibuni alipokuwa akiongea na wanafunzi wapatao 121 pamoja na Waratibu Elimu kata 36 katika gafla fupi yakuwapongeza wanafunzi bingwa waliofanya mtihani maalumu kwa lengo la kuwashindanisha wanafunzi walioshika nafasi za kwanza toka kwenye shule zao ulioandaliwa na Idara ya Elimu Msingi.

"Niwaambie ndugu zangu wilaya yetu imepata bahati kubwa sana yakuwa na watu wenye ushawishi mkubwa bungeni na serikalini, wabunge wetu wote wawili Mhe. Livingstone Lusinde(jimbo la Mvumi) na Mhe. Deo Ndejembi (jimbo la Chamwino) wanafanyakazi nzuri sana kusaidia suala la elimu katika Halmashauri yetu" Amesema Dkt. Mashimba.

Naye Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi Mwl. Zaina Kishegwe akitoa maelezo mbele ya Mkurugenzi Mtendaji amemueleza kuwa mtihani huu maalumu una lengo la kuwashindanisha wanafunzi bingwa wa kila shule waliofanya mtihani wa mock Mkoa na kushika nafasi za kwanza kwenye shule zao ilikuwaandaa vizuri kwa mtihani wao wa kuhitimu elimu ya msingi unaotarajiwa kufanyika nchi nzima mwanzoni mwa mwezi wa 9 mwaka huu.

Katika mtihani huo maalumu mwanafunzi Fransisco Chahe toka shule ya msingi Mvumi Misheni aliibuka mshindi wa kwanza miongoni mwa wanafunzi 121 waliofanya mtihani huo na kuzawadiwa jumla ya Tshs. 100,000/= pamoja na shule yao kupewa jiko la gesi na dazeni moja ya vikombe vya chai.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mchengerwa Awataka Maafisa Habari Kuhakikisha Wananchi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • Miche 350 Ya Matunda Yapandwa Kuadhimisha Kampeni Ya "Mti Wangu Birthday Yangu"

    May 22, 2025
  • Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Ashiriki Zoezi La Kuboresha Taarifa Kwenye Daftari La Kudumu La Wapiga Kura

    May 17, 2025
  • Mafunzo Ya Uboreshaji Wa Daftari La Wapiga Kura Awamu Ya Pili Yatolewa Chamwino

    May 14, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.