• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DC Msuya: Sitasita kuwachukulia hatua wafugaji watakaokwepa zoezi la chanjo Chamwino

Imewekwa: July 1st, 2021

Mkuu wa wilaya ya Chamwino mhe Gift Msuya msuya amekemea vikali wafugaji wotewatakaokaidi zoezi la chanjo Wilayani Chamwino.  kwakuwachukulia hatua kali dhidi ya wafugaji wote watakaokwepa zoezi la kuchanja mifugo yao wilayani hapa.

 Mhe Msuya ametoa kauli hiyo hivi leo alipoongoza zoezi la utoaji chanjo kwa wanyama lililofanyika kiwilaya katika tarafa ya Mpwayungu kata ya Mpwayungu kijiji cha Mpwayungu leo tarehe 01 julai, 2021.

"Ipo tabia kwa baadh ya wafugaji hawachanji mifugo yao mwisho wa siku ikitokea magonjwa ya milipuko kwa wanyama hupelekea kufa nakuanza kuilaumu serikali kuwa haiwajali wafugaji, niwahakikishie kama serikali ya wilaya tutawashughulikia watu hao kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu", amesema Mhe Msuya.

Aidha Mhe Msuya amesema suala la chanjo ni muhimu kwa mifugo kwani husaidia kupata mifugo bora na yenye afya njema isiyokuwa na magonjwa ambayo husaidia kuongeza uchumi wa mfugaji mmoja mmoja

‘’Lazima kuwepo na ufugaji wenye tija ,tuwaelimisha wafugaji kufuga kisasa pamoja nakuwa na mifugo michache ambayo itatafutiwa malisho ,kuogesha,kuidhibiti na kuipa chanjo’’amesema Msuya.

Wakati huo huo Mhe. Msuya amebainisha kutokuwepo kwa majosho yakutosha,malambo ya kunyweshea,kutokuwepo kwa maeneo yaliyotengwa kwaajili ya kiangazi na huduma za chanjo kutolewa kwa kususua, hivyo ameagiza kila Kata kuhakikisha wanaandaa mpango mkakati kuhakikisha kila Kata inajenga josho moja na malambo ya kunyweshea mifugo.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Chama cha wafugaji Reginald Malima Lubeleje amesisitiza wafugaji kujitokeza kuchanja mifugo yao ili iwe na afya imara

Nao wafugaji waliojitokeza wameeleza umuhimu wa kuchanja mifugo yao kwani inasaidia mifugo kuwa imara hata ikipelekwa kwenye soko inauzika kiurahisi.

Mkuu wa Idara ya Mifugo na Uvuvi Dkt Christopher Skombe amesema kuwa Halmashauri imejipanga kuchanja mifugo ilikuwalinda na magonjwa mbalimbli ukiwemo na huu wa homa ya mapafu, tunategemea kwamba mpango wetu ni kuchanja ng’ombe zaidi ya laki mbili na mbuzi elfu sabini kwahiyo wito wangu kwa wafugaji wote wa Wilaya ya Chamwino kujitokeza kwa wingi katika zoezi hili la uchanjaji mifugo ili kuifanya Chamwino kuwa salama dhidi ya homa ya mapafu.

Naye Antony Stanslaus Mtaalamu toka Agrosteps wanaoshughulika na zoezi hilo amesema wanatoa chanjo kwa mujibu wa miongozo iliyowekwa na serikali ‘’tunaomba wananchi wa hapa wajitokeze bila kuficha mifugo yao ili iweze kupatiwa kinga’’

Mifugo inayochanjwa Wilayani Chamwino nipamoja na Ng’ombe, Kondoo na Mbuzi ambayo itasaidia kuwaepusha na magonjwa mbalimbali kama vile homa ya mapafu.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.