• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Chamwino Yaweka Mikakati Kuinua ufaulu Darasa la Saba

Imewekwa: July 27th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino imeweka mikakati ya kuinua ufaulu kwenye mtihani wa darasa la saba. Mikakati hiyo imewekwa kwenye kikao kazi kilichofanywa na watumishi wa Idara ya Elimu Msingi ngazi ya Halmashauri, Maafisa Elimu Kata na walimu Wakuu.

Kikao hicho kimefanyika leo, Jula 27, 2022 kwenye shule ya msingi Buigiri Blind iliyopo kata ya Buigiri.

Katika kikao hicho mikakati mbalimbali ya kuondoa daraja D na E kwenye matokeo ya mtihani wa Taifa wa darasa la saba imewekwa na walimu wamekubaliana kuisimamia kwa nguvu zote.

Vilevile walimu wameweka mikakati ya kuhakikisha ufaulu wa daraja A unaongezeka kwa kiwango kikubwa ili kuiwezesha Wilaya kufanya vizuri na hivyo kushika nafasi nzuri kwenye matokeo ya Mtihani wa Taifa wa darasa la saba. 

Kikao kiliongozwa na Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi Bibi Zaina Kishegwe.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • RATIBA YA MAFUNZO YA MFUMO WA MADENI,MIS June 26, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mkuu wa Mkoà wa Dodoma Akagua Mirdi yà Maendeleo Chamwino

    May 31, 2023
  • Naibu Wazri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Ashiriki Zoezi la upandaji Miti Chamwinoi

    May 26, 2023
  • Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Akagua Miradi Chamwino

    May 19, 2023
  • Mkuu wa Wilaya Chamwino na Viongozi wa Halmashauri Wakagua Maendeleo ya Ujenzi Mradi wa Boost

    May 15, 2023
  • Angalia Zote

Video

JITIADA ZA RC DOM DKT. MAHENGE KUWAINUA VIJANA KIUCHUMI KUPITIA KILIMO,
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.