• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Chamwino Yasisitizwa Kutoa Kipaumbele Juu ya Suala la Elimu

Imewekwa: May 13th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Anthony Mtaka amewataka viongozi wa Serikali na watumishi wa Wilaya ya Chamwino kulipa kipaumbele suala la elimu ambalo ndilo litakaloweza kuwaletea maendeleo na kuinua hali ya uchumi wao.

Hayo ameyasema kwenye kikao kazi kilichofanyika kwenye eneo la ofisi za Halmashauri jana mei 12, 2022. "Sitakuwa na mchezo kwenye suala la elimu. Kila sehemu yenye elimu nzuri na uchumi pia huwa mzuri."Alisema Mkuu wa Mkoa.

Aidha aliwapongeza viongozi wa Serikali za vijiji na walimu waliofanya vizuri kwenye maeneo yao na aliahidi kufanya mikutano kwenye maeneo hayo ili kuweka hamasa zaidi katika kuinua ufaulu wa wanafunzi.Mhe. Mkuu wa mkoa aliahidi kutoa zawadi ya shilingi 50,000/= kwa kila mwalimu kwa walimu wote sita wa shule ya msingi Loje waliolima alizeti mwaka uliopita wa 2021 na kufanikiwa kupata pesa zilizowawezesha kununua mashine ya kudurufu mitihani ya shule hiyo.

Akiunga mkono juhudi hizo Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Bibi Gift Msuya aliahidi kutoa shilingi 300,000/= kutoka kwenye fedha za kampeni yake ya Nishike Mkono Kuinua Elimu Chamwino.

Vilevile Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma bibi Fatuma Mganga ameelekeza kuwa ili kuboresha hali ya ufaulu kwa wanafunzi nafasi za uongozi zisiwe za kudumu, mwalimu Mkuu anayefanya vibaya aondolewe na ateuliwe mwingine kushika nafasi yake.

" Mbinu hii ya kuwaondoa walimu wakuu waliofanya vibaya na kuteuawa wengine niliitumia nilipokuwa Bahi na nilifaulu, Bahi ikawa ya kwanza Kimkoa.' Alisema Katibu Tawala.

Pia aliwaelekeza walimu kuwashawishi wanafunzi kusoma masomo ya sayansi ili kupata madaktari na manesi. Alieleza kuwa watoto wasipofaulu wazazi hawawezi kuwa na moyo wa kuchangia."Mzazi anasomesha mtoto anapata daraja la nne na sifuri, pasipo kuona watoto wanafaulu hawezi kuhamasika kuchangia."Alisema Katibu Tawala.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.