• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Chamwino Yaadhimisha Kilele Cha Siku 16 Za Kupinga Ukatili

Imewekwa: December 11th, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino imeadhimisha kilele cha siku 16 za kupinga ukatili zilizoanza kuanzia tarehe 25 Novemba na kuhitimishwa 10 Desemba, 2024. Maadhimisho hayo yalifanyika katika kata ya Huzi.

Kilele cha Maadhimisho hayo yaliyobeba kauli mbiu “Kuelekea Miaka +30 ya Beijing Chagua Kutokomeza Ukatili wa Kijinsia” yaliadhimishwa mbele ya mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mh. Janeth Mayanja.

Akizungumza katika kilele cha maadhimisho hayo Mh. Janeth Mayanja amewahasa Wananchi waliojitokeza katika maadhimisho hayo kutoa haki sawa kwa watoto wote wa kiume na wa kike na kuhakikisha watoto wa kike wanapatiwa mahitaji yao ya msingi sawa na watoto wa kiume. 

Aidha, amekumbusha pia wakati harakati za kutetea haki za mtoto wa kike zinaendelea watoto wa kiume nao wasiachwe nyuma na wapatiwe mahitaji yao ya msingi bila kubaguliwa.

Sanjari na hilo, Mh. Mayanja amewataka Wananchi kuachana na mila na desturi zinazokandamiza jinsia moja ikiwemo kuozeshwa kwa watoto wa kike katika umri mdogo unaopelekea kukosa haki zao za msingi kama elimu, na kusisitiza pia mwanamke na mwanaume wana haki sawa. 

Aidha, DC Mayanja amehaidi kuwachukulia hatu wazazi na familia ambazo wanatatua mambo ya ukatili wa kijinsia ikiwemo ubakaji na ulawiti nyumbani bila kufikisha kesi hizo katika vyombo vya sheria.

Kwa upande wa Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Chamwino Bi. Zaina Msangi ameelezea lengo la kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, ikiwa ni kuunganisha nguvu kati ya Serikali na Taasisi zake pamoja na wadau wa maendeleo kupaza sauti kwa ajili ya kuwasemea wale wanaofanyiwa ukatili wakiwemo wanawake na watoto.

Maadhimisho hayo ya siku 16 za kupinga ukatili yalipambwa pia na burudani kutoka vikundi mbalimbali vilivyosherehesha tukio hilo, pamoja na wadau na mashirika yasiyo ya Kiserikali ikiwemo World Vision, Epic na Tanzania Women Chamber of Commerce (TWCC) waliochangia kutoa mada na kufanikisha kilele hicho.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.