• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Baraza la Madiwani Lajadili Utekelezaji wa Shughuli za Idara Robo ya Kwanza 2023/2024

Imewekwa: November 16th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino imefanya mkutano wa Baraza la Madiwani robo ya kwanza Novemba 15-16, 2023. Mkutano umefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ukiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Edson M. Sweti.

Katika mkutano huo mambo mbalimbali yalijadiliwa ikiwemo suala la ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri pamoja na utekelezaji wa miradi na program mbalimbali za maendeleo.

Ilielezwa kuwa kwa mwaka wa fedha 2023/2024 Halmashauri kupitia program mbalimbali ilidhinishiwa kiasi cha shilingi 14,519,291,000.00 kwa ajili ya kutekeleza miradi na program mbalimbali za maendeleo. Hadi kufikia Septemba 2023 Halmashauri imepokea julma ya shilingi 2,652,338,725.00 sawa na asilimia 18 ya bajeti iliyoidhinishwa.

Aidha Wahe. Madiwani waliwaelekeza taasis ya TANESCO kutenga siku maaalum ya kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli zao kwa Wahe. Madiwani ili waweze kama zinavyofanya Taasis nyingine kama vile RUWASA.

Ilielezwa kuwa kwa kufanya hivyo wataweza kuwa na uelewa wa pamoja ikiwa ni pamoja na kuwaeleza wananchi utekelezaji uliofikiwa na hivyo kuwa na majibu pindi watapohojiwa na wananchi.

Naye mwakilishi wa Meneja wa TANESCO  Wilaya alikubaliana na hoja hiyo ya Wahe. Madiwani na kuahidi kutekeleza kuanzia rbo inayofuata.

Kwenye kikao hicho pia Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya alitumia aliwakumbusha Madiwani kuzungumzia mazuri yanayofanywa na Serikali ya awamu ya sita hususani kwenye miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenye kata zao kupitia mikutano ya hadhara.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.